AINA ZA HUSBAND WAPATIKANAO BONGO
1. Bachelor Husband - Huyu hajali
familia yeye na marafiki na
kushinda nje ya nyumba yake
2. Acidic Husband - Huyu ni mkali
kwa kila jambo hata jambo liwe dogo vipi ni kuwaka kwa kwenda
mbele
3. Slave Husband - Huyu anataka
umnyenyekee kama mfalme
yaana
ni kama Mungu mtu
4. General Husband - Huyu ni
kiwembe aka anawanawake
wengi
kupita maelezo
5. Dry Husband - Huyu ni mchoyo
akitoa pesa ya matumizi anataka kujua hadi shilingi moja
imetumikaje
6. Asprin Husband - Huyu
anataka
shida zake zote mkewe ndo
azitatue hata kama yeye mwenyewe
ana uwezo
7. ParasiteHusband - Huyu ni
tegemezi aka Marioo
8. Baby Husband - Huyu hana
maamuzi binafsi uamuzi wake hupewa na wazazi ndo aje
afanye
maamuzi kwa mkewe
9. Visiting Husband - Huyu hataki
kujua familia imeshindaje,
inaishije, wanakulaje kulala nje kama kawa
hata siku tatu
10. Caring Husband - Huyu ni
mwenye kujali familia na kuitunza
kwa kila jambo.
Wewe Men ungependa kuwa kundi Lipi kati ya hayo?
Wewe girl,ungependa upate mume wa Aina ipi kati ya hao?


0 comments: