MKOPO WA VIWANJA VILIVYO PIMWA
YUNEDA COMPANY LTD baada
ya kugundua watanzania wengi hawamiliki viwanja vyenye hati kutoka wizara ya
ardhi kutokana na sababu za viwanja vilivyopimwa kuwa na bei kubwa na
watanzania walio wengi kipato chao ni cha chini. YUNEDA wameanzisha mradi wa
kupima viwanja na kuwakopesha .
Kwa wale wanaohitaji huchagua kiwanja na kuanza kurejesha
kwa muda wa miezi 6 hadi 36 kulingana na kipato chake. Wameshapima viwanja 480
ndani ya mkoa wa DSM wilaya ya Temeke. Malengoyao ni kupima viwanja katika
mikoa 10.
KWA MAWASILIANO:
FIKA OFINI KWAO MBAGALA KONGOWE BAKWATA
AU
simu 0712 870606
Email: yuneda2006@gmail.com
.........................FURSA NI HII TUITUMIE…………….

0 comments: