Maisha sio kile ambacho hujakifanya mpaka sasa, ila ni juu ya kile ambacho bado una muda na uwezo wa kukifanya!!!

09:10:00 Unknown 0 Comments



Nilibakwa nikiwa na Umri wa Miaka 9" - Oprah Winfrey


"Sikumaliza hata Elimu yangu ya Chuo" - Bill Gates

"Kwenye Maisha ya Utotoni, Nilidhurumu Viatu" – Abraham Lincoln

"Nilipata sana shida katika kipindi chote nilichokuwa Shule" - Dr Ben Carson

"Nilikuwa nauza Chai Dukani ili niweze kupata Hela kwa ajili kufanikisha Mazoezi" - Lionel Messi

"Nililala Sakafuni kwenye Vyumba vya Marafiki , nikiwa nakusanya Chupa za Coke kwaajili ya Hela ya Chakula, na pia kupata Chakula cha Bure cha Wiki kinalichotolewana Wahisani" - Steve Jobs

"Mwalimu wangu alikuwa akiniita Anayefeli" – Tony Blair

KUMBUKA:
Maisha sio kile ambacho hujakifanya mpaka sasa, ila ni juu ya kile ambacho bado una muda na uwezo wa kukifanya!!!
USIKATE TAMAA

You Might Also Like

0 comments: