Nifanyeje kumrudisha mpenzi niliye gombana nae?
Mimi ni msichana wa miaka 20 na nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana ila tuliachana miaka miwili iliyopita.
Kwa kweli kuachana kwetu kulikuwa ni kwa kukoseana, yaani yeye alinikosea nami pia nilimkosea hivyo tulikoseana.
Nilimpenda sana yule mkaka na hadi kesho ntazidi kumpenda na ninatamani sana niwe nae kwa mara nyingine ila sijui nitumie njia gani kumfanya arudi kwangu.
Kumpata mwanaume mwingine naweza coz najiamin mi ni mzuri na sifa ninazo ila moyo wangu wote upo kwake na hata nikiolewa kwa ku-force hahisi hiyo ndoa haitakuwa ndoa.
Namba zake za simu ninazo na huwa tunawasiliana mara moja moja na kutumiana msg, cha ajabu haoneshi hata dalili ya kutaka kurudi kwangu.
Naumia sana coz nampenda sana tena sana ila nashindwa nifanye nini ili tuwe pamoja na tufunge pingu za maisha.
Rafiki zangu najua mlio wengi mnajua maumivu ya mapenz hivyo basi nahitaji ushauri toka kwenu. Kama mtanitukana poa ila jua leo kwangu kesho kwako.
Natanguliza shukuran kwa yule atakae toa ushauri wa busara na si matusi
Asante
Toa ushauri wako kwa kubofya hapa
Habari zenu. Ilikuwa ngumu sana kwangu wakati mpenzi wangu aliniacha kwa mwanamke mwingine. Niliharibiwa kihisia, nilivunjika moyo na sikujua la kufanya ili kumrudisha. Nilihangaika kwa miezi mingi na niliendelea kutafuta msaada kutoka kila mahali hadi nilipopata kujua kuhusu DR DAWN. Niliwasiliana naye na kumweleza shida zangu. Alikuwa tayari kunisaidia na kunisisitiza nifuate taratibu ili aweze kurejesha penzi kati yangu na mtu wangu na pia kuhakikisha tunarudiana wote wawili. Nilipata mahitaji yote na ilifanya kazi hiyo. Baada ya saa 48, nilipata ujumbe kutoka kwa mpenzi wangu akiniuliza tarehe. Sasa tuko pamoja tena na shukrani zote kwa DR DAWN. Anaweza kukusaidia kumrudisha mpenzi wako,
ReplyDeleteAnaweza kukusaidia na uchawi wa ujauzito,
Anaweza kukusaidia kuponya aina yoyote ya ugonjwa.
ikiwa uko tayari kuamini na kubaki na matumaini. Watumie barua pepe tu kupitia: dawnacuna314@gmail.com
WhatsApp: +2349046229159