TIMING IN LIFE, HAKUNA MAJIRA YADUMUYO

Moja kati ya vitu ni muhimu kwako kuelewa ni kwamba hakuna majira yanayodumu...Leo ipo kwaajili ya kuitengeneza kesho kama jinsi ilivyokua jana kwa leo.Hivyo ni muhimu sana kuutumia wakati na fulsa ulionayo leo kwa makini na uaminifu ili ifikapo kesho uwe na akiba ya matunda ya jana.
Moja kati ya vitu vigumu kwenye maisha ni kwa mtu aliekua juu kushuka chini tena kwa ghafla,inaumiza sana. Moja kati ya vitu vinavyosababisha hili kutokea ni kuto kuyatambua majira yako kwamba hayatadumu milele......kama jinsi usiku unavyoiandaa asubuhi na asubuhi kufika haraka ndivyo ambavyo hicho kipindi cha kibali na mpenyo kitapita kwako hakika hakitakaa milele.
sasa wakati huo ukipita kuna matokeo mawili makubwa
sasa wakati huo ukipita kuna matokeo mawili makubwa
1:Kufurahia
2:Kujuta zaidi
2:Kujuta zaidi
KUFURAHIA
Hili litakuja tu kama ulitumia muda wako vizuri na kufanya kazi kwa bidii ukitambua kwamba ule ni msimu maalum kwako kwa kuvuna na kuweka akiba si kutapanya....kwasababu kuna kesho yako inakuja ambayo hutakua na nafasi au nguvu ya kufanya tena kama sasa kwasababu wakati wako wa masika(kukubalika,ku heat,kukimbiza)utakua umekwisha watu wengi tunawaona leo bado majina yao yako vizuri lakini kimsingi wakati wake ulikwisha kinachompa heshima ni ile akiba alioweka na nguvu kubwa ya kufanya kazi alioitumia wakati bado anaushawishi kwa jamii.Hivi ndivyo vinafanya mtu kuufurahia wakati wake hata kama umepita kwasababu anayaona matunda ya kazi yake.
Hili litakuja tu kama ulitumia muda wako vizuri na kufanya kazi kwa bidii ukitambua kwamba ule ni msimu maalum kwako kwa kuvuna na kuweka akiba si kutapanya....kwasababu kuna kesho yako inakuja ambayo hutakua na nafasi au nguvu ya kufanya tena kama sasa kwasababu wakati wako wa masika(kukubalika,ku heat,kukimbiza)utakua umekwisha watu wengi tunawaona leo bado majina yao yako vizuri lakini kimsingi wakati wake ulikwisha kinachompa heshima ni ile akiba alioweka na nguvu kubwa ya kufanya kazi alioitumia wakati bado anaushawishi kwa jamii.Hivi ndivyo vinafanya mtu kuufurahia wakati wake hata kama umepita kwasababu anayaona matunda ya kazi yake.
2:KUJUTA
Hakuna wakati mgumu sana katika maisha kama wakati wa kushuka kwa mtu aliekua juu...Hii inasababishwa na matumizi mabaya ya wakati wako(MAJIRA)Hapa ninamaanisha ni ule wakati ambapo mtu unakua na ushawishi kwa jamii husika mfano:nyimbo zako zinachezwa sana redioni,umekua mwanasiasa ambae unaushawishi mkubwa,Ni mtumishi ambae kwa wakati huo Mungu kakupa kibali kwa watu au biashara zako zinakwenda vizuri.
Hakuna wakati mgumu sana katika maisha kama wakati wa kushuka kwa mtu aliekua juu...Hii inasababishwa na matumizi mabaya ya wakati wako(MAJIRA)Hapa ninamaanisha ni ule wakati ambapo mtu unakua na ushawishi kwa jamii husika mfano:nyimbo zako zinachezwa sana redioni,umekua mwanasiasa ambae unaushawishi mkubwa,Ni mtumishi ambae kwa wakati huo Mungu kakupa kibali kwa watu au biashara zako zinakwenda vizuri.
Watu wengi wakifika msimu huu hua wanasahau kama kuna kesho ambayo yupo mtu mwingine atachukua nafasi hiyo, na kwasababu wengi wameutumia muda huu vibaya yaani badala ya kukusanya wanatapatanya na badala ya kutumia wanafuja wengi wao hua wanakuja kustuka tayari muda ushakwisha na matokeo yake ni kujuta.kujuta hakutakusaidia lolote kwa sababu ni mara chache muda au bahati hujirudia
MUHIMU
Inawezekana kwa kutokujua umechezea muda kitu nachotaka utambue ni kwamba......
Inawezekana kwa kutokujua umechezea muda kitu nachotaka utambue ni kwamba......
Hautakua maarufu milele
Hauta baki juu milele
Biashara yako haitakua juu milele
Hautafanya kazi ofisi hiyo milele
Hauta baki juu milele
Biashara yako haitakua juu milele
Hautafanya kazi ofisi hiyo milele
Kuna siku isiyo na jina utampisha mtu kwenye hiyo nafasi uliopo......Baada ya wewe kuondoka hapo ulipo je heshima yako itaendelea kuwepo? Jibu la swali gli litatokana na mchango wako ulioacha nyuma na akiba ulionayo mkononi.
Uamuzi wa kujuta au kufurahia uko mikononi mwako unapopata nafasi hiyo weka malengo tembda katika malengo tumia gharama kubwa katika kuwekeza sio matumizi...LIPA GHARAMA LEO UWE WA GHARAMA KESHO
Uamuzi wa kujuta au kufurahia uko mikononi mwako unapopata nafasi hiyo weka malengo tembda katika malengo tumia gharama kubwa katika kuwekeza sio matumizi...LIPA GHARAMA LEO UWE WA GHARAMA KESHO
MAJIRA HAYADUMU...!FANYA UKIWA UNAJUA LEO IPO KWAAJILI YA KUIKAMILISHA KESHO
imeandaliwa Fred Msungu
Karibu Mbeya shared a link.
Camera inauzwa na iko katika hali nzuri na inafanya kazi vizuri sana,
480 people reached
0 comments: