AFARIKI DUNIA KWA KUZIDIWA UTAMU WA MAPENZI.

12:07:00 Unknown 0 Comments



Kijana mmoja nchini Malawi Fletcher Jere (26) amefariki dunia kutokana na kuzidiwa utamu wakati akifanya ngono na kahaba mmoja mjini Blantyre.
Gazeti la Daily Times nchini Malawi limeripoti kuwa kijana huyo alinunua kahaba huyo maeneo ya Ndirabe katikati ya jiji la Blantyre.
Afisa wa Polisi mjini Blantyre Bi.Edina Ligowe amesema Jerre alikufa kutokana na kuwa na hisia za juu sana pamoja na kuhisi utamu iliopitiliza wakati akifanya ngono na kahaba huyo (sexual excitement and sweetness).
Aidha Afisa huyo amesema kuwa kahaba huyo hatafunguliwa mashtaka yoyote kwa sababu hakuna kosa alilofanya kwa yeye kuwa mtamu kupitiliza. "She committed no crime by being too sweet to the man"



Mambo 9 ya msingi ambayo vijana wanataka kuwaambia wanawake wote single hapa facebook.
1. Kama unampenda mtu jitahidi kuwa muwazi kwa kumwambia mtu. Kwa sasa tumechoka kusoma hisia zenu maana ni ngumu kutambua feki na real
2. Kama humpendi mtu, mwambie ukweli kuliko kuleta michezo ya kucheza na hisia za watu
3. Kila mara jaribu kuwa wewe, na furahia utofauti wako na wenzako hivyo acha kuwa mtu tofauti na ulivyo kwa kujivika maisha na hali usiyoimudu... utaumbuka...
See More
If you are interested in advertising on our free of charge Karibu Mbeya site, please contacts us: Cell: 0713317171 Email: sales @karibumbeya.com
KARIBUMBEYA.COM

You Might Also Like

0 comments: