Mbio kwenda mbele
Mwizi mmoja, alimwona tajiri mmoja akizikwa na vitu vingi vya thamani,akasema kimoyomoyo; usiku nakuja kuliiba Jeneza lote.
Giza lilipofika akaenda kuiba lile Jeneza la tajiri.....sasa amelibeba yupo njiani akakutana na Polisi wa Doria, alipowakaribia akaanza kuzungumuza kwa sauti; mimi niliwaambia wanizike Morogoro wao wamenizika Dar es alaam....sasa naenda mwenyewe Morogoro.
Polisi kusikia hivyo, wote ni mbio kwenda mbele!

0 comments: