kwenda zako(Msg sent)

13:12:00 Unknown 0 Comments

Pamoja namatangazo ya bei mbaya ya kampuni yetu ya simu, haya yamemkumba rafiki yangu anaitwa Othman siku chache zilzopita.
Oth alianza kuchat  kwa txt na mpenzi wake
Binti: Hi Babes
Oth: Hi luv (msg sending failed)
Binti: Vipi upo
Oth: Ndio nipo sweety (msg sending failed)
Binti: Mbona hunijibu? Uko na mtu?
Oth:Mbona nakujibu (msg sending failed)
Binti: Mi naona unadharau sana,ukiwa na mabibi zako unaninifanya mi mjinga.  Mi nimechoka staki tena
Oth: Pumbavu mkubwa kwenda zako(Msg sent)

You Might Also Like

0 comments: