nilitaka kujua kama ile sms ya kwanza uliipata

09:09:00 Unknown 0 Comments

Samahani mke wangu naomba unifulie nguo zangu zile nilivaa juzi na uzipige pasi.'

Muda ukapita mke hakujibu...mume­ akatuma sms nyingine: 'Pia nilisahau kukuambia kuwa hapa ofisini nimeongezewa mshahara mara tatu ya mwanzo na nimekununulia
zawadi ya gari.'

Haikuchukua sekunde mke akajibu: 'Wow♥ Unasema kweli mume
wangu?

Mume: 'Nakutania tu, nilitaka kujua kama ile sms ya kwanza uliipata

You Might Also Like

0 comments: