Njia 10 za kuuteka moyo wa mwanamke

07:17:00 Unknown 1 Comments




1. Mpigie simu unapojisikia huna furaha ili akuliwaze na kuwa jirani nawe.

2. Mwombe akupe picha zake wakati akiwa bado mtoto mdogo..!

3. Mara moja moja mwite kwa jina lake la kwanza au la katikati,

4. Anapoonyesha dalili za kuwa na hofu; "Mtazame machoni mwake na kumwambia , hakuna mtu duniani aliye na uwezo wa kutatua na kutekeleza mambo kwa ufasaha kama alivyo yeye.."

5. Mwite kila mara ukishamaliza majukumu yako ya siku ili uwe naye.. Siku zote hungojea nafasi hiyo kwa hamu..

6. Mfanye afurahi kwa kumchekesha kila unapohisi hayupo sawa au kuna kitu kinampotezea furaha.

7. Katikati ya mazungumzo mwambie unampenda sana na unafurahia kuwa naye.

8. Jitahidi kumchunguza akiwa kavaa kitu kipya au stlye mpya ya nywele zake na onyesha kuvutiwa na kumpa hongera

9. Mkumbatie ukihisi anaona wivu na mfanye aone yeye yuko pekee katika moyo wako..

10. Mshike kwa mikono yako mwilini mwake kila unapomtambulisha kwa marafiki wapya na atafurahia.

Je yana ukweli wowote haya?

Share na like Tabasamu na Fuledi

You Might Also Like

1 comment:

  1. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159

    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete