Jamaa sala zake zimejibiwa na sasa anamiliki kazi nzuri sana he he he

17:01:00 Unknown 0 Comments



Fuledi alikuwa akisali usiku na mchana akimwomba Mungu siku moja Mungu akamtokea

Mungu: Mwanangu, nini unataka? 
Fuledi Nahitaji kazi, gari kubwa na wanawake wengi pembeni yangu. 
Mungu: Ni hayo tu mwanangu? 
Fuledi: Ndio 
Mungu: Maombi yako yamejibiwa mwanangu. 
Fuledi: Asante Mungu. 

Sasa Fuledi ni dereva wa basi la shule ya wasichana huko KILAKALA!. 

Funzo

Tunatakiwa kuwa makini wakati tunapeleka sala zetu kwa Mungu kuhusu mahitaji yetu.

You Might Also Like

0 comments: