SIFA KUU ZA MADEREVA BODABODA
1. UCHAFU: wengi wao ni wachafu sana, makoti yao machafu. Hawapigi miswaki usiombe Akunong'oneze. Helmet zao chafu.
2. HAWAJUI SHERIA ZA BARABARANI: Wengi hawazingatii wala hawajui sheria za barabarani. Penye Dont yeye ni Do.
3. HAWANA MAADILI KWA WAKUBWA: Wengi wao ni watoto wadogo na wasiotaka kwenda shule, HUKO ndio kimbilio lao kwenye bodaboda.
4. HIGH SPEED: WANAMwendo kasi m'baya unosababisha ajali.
5. WIZI: Wengi wao Wamejikita kwenye wizi wa mali za abiria wao.
6. Utasikia anakwambia,unataka mwendo wa buku or buku mbili,ukisema wa buku basi atakukimbiza mpaka ukome
2. HAWAJUI SHERIA ZA BARABARANI: Wengi hawazingatii wala hawajui sheria za barabarani. Penye Dont yeye ni Do.
3. HAWANA MAADILI KWA WAKUBWA: Wengi wao ni watoto wadogo na wasiotaka kwenda shule, HUKO ndio kimbilio lao kwenye bodaboda.
4. HIGH SPEED: WANAMwendo kasi m'baya unosababisha ajali.
5. WIZI: Wengi wao Wamejikita kwenye wizi wa mali za abiria wao.
6. Utasikia anakwambia,unataka mwendo wa buku or buku mbili,ukisema wa buku basi atakukimbiza mpaka ukome
0 comments: