Duh kuna wadada jamani noma sana yaaani.

20:20:00 Unknown 0 Comments



Kaniomba vocha nimemtumia 10,000 kwa kwa maumivu kidume mimi.

Eti ananibeep nampigia anasema asante nimepata vocha.

Yaani kashindwa hata kunipigia tuuuuu?

Au kamfowadia mtu?

Kanishangaza sana wadau mnasemje?

You Might Also Like

0 comments: