Habari ya kuhuzunisha: Usiisome hii habari itakufanya usitazame mchuano wa leo kati ya Brazil na Germany
Kijana mmoja na dada walifahamiana Facebook na wakaendelea kuchati kwa muda na kuwa marafiki, wakakubaliana siku moja ya wakutane hotel moja ili kaka ampe zawadi dada yule kwani ilikuwa siku yake ya kuzaliwa na wakawa chumbani wakifurahi kwa chakula na vinywaji.
Wakiwa mle chumbani yule kaka baada ya muda akabadilika na kuwa joka kubwa na kuanza kummeza yule binti.
Dada akapiga magoti na kumwomba yule chatu ambaye alikuwa ni mtu kumsamehe na kumwach aende zake kwani alikuwa akiishi na mama anayemtegemea yeye lakini yule chatu akammeza.
Hili ni somo kwa kila binti ambaye anapenda sana kupokea mialiko na marafiki asiowajua hasa nyakati za furaha au matukio muhimu au hata wakati wa kawaida hivyo jaribuni kwa makini.
Soma zaidi na kuona picha ya tukio hapa
0 comments: