Binti wa namna hii lazima akufanye hasira ipande na kuishia yenyewe

11:57:00 Unknown 0 Comments




Morgan:baby nataka tuhave sex
Asteria:saa hivi ama badae?
Morgan:saa hii
Asteria:kwa bed ama kwa sofa??
Morgan:kwa sofa
Asteria:2 seater ama 3 seater?
Morgan:ama twende kwa bed tuu..
Asteria:juu ya sheets ama chini ya sheets
Morgan:juu ya sheets...
Asteria:na condom au kavu?
Morgan:Na condom
Asteria:dume au salama??
Morgan:salama....
Asteria:ile flavored au normal???
Morgan:flavor......
Asteria:banana flavor ama strawberry?
Morgan:strawberry...
Asteria:uko nazo ama waenda nunua?
Morgan:ntaenda shop
Asteria:kwa Mangi au kwa mpemba?
Morgan:au basi tukiss tuu....
Asteria:mdomon au shavun???
Morgan::huo usenge sasa.....
Asteria:usenge mwingi au kidogo???
Morgan:by the way nshaakupiga chin ngoja nsake dem mwngne....
Asteria:mref au wa height yangu???
Morgan:toka hapa toka kwenda...
Asteria:hutak tena sex???
Morgan:kwasasa ntamustarbate tuu...
Asteria::na sabuni ama na vaseline??
Morgan:Acha ujinga kafie mbele




Mambo 9 ya msingi ambayo vijana wanataka kuwaambia wanawake wote single hapa facebook.
1. Kama unampenda mtu jitahidi kuwa muwazi kwa kumwambia mtu. Kwa sasa tumechoka kusoma hisia zenu maana ni ngumu kutambua feki na real
2. Kama humpendi mtu, mwambie ukweli kuliko kuleta michezo ya kucheza na hisia za watu
3. Kila mara jaribu kuwa wewe, na furahia utofauti wako na wenzako hivyo acha kuwa mtu tofauti na ulivyo kwa kujivika maisha na hali usiyoimudu... utaumbuka...
See More
If you are interested in advertising on our free of charge Karibu Mbeya site, please contacts us: Cell: 0713317171 Email: sales @karibumbeya.com
KARIBUMBEYA.COM

You Might Also Like

0 comments: