wife atumia akaunti feki ya fb na kumfanya mme amtajie idadi na majina ya mabinti wote aliochepuka nao
Leo asubuhi nimeingia kazini mapema sana kuliko kawaida yangu baada ya kugombana na wife home.
Nilipofika nikatulia kwenye computer na kuwa busy na mitandao ya kijamii kujipa nafasi ya kusahau maugomvi.
Ile kufungua facebook tu nikakutana na friend request ya binti mmoja mtamu sana mwenye pic za kuvutia na kuanza kuchati naye.
Kwa kweli binti yule anajua sana kuchati na huwezi amini mpaka kufikia mida ya saa nne nilikuwa sijafanya kazi yoyote pale ofisini kwa utamu wa text zake.
Tukazidi kufahamishana na yeye akadai ana mme anaye pendana naye sana na mimi nikawa namwambia nina mke ila ana longo longo sana hivyo simpendi kiviiile ni basi tu yaani.
Tukaendelea kuchati na akawa anaonekana anasogea sogea kwangu na akaniuliza niwe muwazi kumwambia kama tangu nuanze ndoa kuna wanawake nimewahi tembea nao ndio anikubali kuwa nae kwani anaogopa magonjwa, nikampa idadi yake bila kusita na hata alivyoomba majina yao nikampa yale ya mwanzo tu.
Akanipenda sana kwa kuwa muwazi na kuniambia atafikiria kwa kuwa mimi ni mkweli sana.
Baadae nikamwomba afanye tuonane akanipa namba ya voda nami baada ya kufurahi nikamwambia ningempigia mchana huu.
Mida hii nimeipiga ile namba na sauti ni ya mke wangu na nilipojaribu kutumia njia ya kujifanya natuma fedha kwa mpesa, nimeishiwa nguvu kuona ni jina la mke wangu na hakuwa na laini ya voda kabla.
Jamani nimetoka kazini nipo hapa bar nakunywa na sijui leo nyumbani itakuwaje...:..
Naombeni ushauri vijana wenzangu kwani hapa kati nimekuwa mkorofi sana kwa mke wangu na akasema kuna siku atanibamba tuu.....
Naumia zaidi ile kutoa list ya mabinti niliotembea nao wote....
Nahitaji ushauriwa akili imesizi....


Ushuhuda
ReplyDeleteNilivunjika kabisa uhusiano wangu ulipoisha. Niliamini kweli nimepoteza upendo wa maisha yangu milele. Kisha nikampata Dk. Dawn, na kila kitu kilibadilika.
Kwa fadhili, hekima, na mwongozo wenye nguvu, alinirudishia upendo ambao nilifikiri umetoweka. Leo, tuna furaha zaidi kuliko hapo awali!
Dr. Dawn kweli aligeuza machozi yangu kuwa furaha.
Dk. Dawn Anaweza Kukusaidia Na:
✅ Maneno ya mapenzi
✅ Tahadhari za Ujauzito
✅ Kurejesha Ndoa/Mahusiano
✅ Dawa za mitishamba kwa VVU, Ugonjwa wa Figo, Magonjwa ya Moyo, Maambukizi na mengine mengi.
📧 Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
📞 Simu/WhatsApp: +2349046229159
Usiteseke kimya kimya. Dk. Dawn anaweza kurudisha furaha katika maisha yako!
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
ReplyDeleteBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com