Gari aina ya Toyota Verossa inauzwa

14:52:00 Unknown 4 Comments


Toyota Verossa ON SALE..

.Milioni za Itanzania 13.5 TU
Uki-consider gharama Mpya za Ushuru utaelewa jinsi gani bei hii ni sawa na BUREEE.
Kama unawiwa(interested) tafadhali check me inbox or call me on 0786-670257
VEROSSA NDO HABARI YA MUJINI!



You Might Also Like

4 comments:

  1. Acheni kuweka matangazo ya kisiasa..... tangazo la gari halina budi kuambatana na taarifa za umri wa gari (mwaka wa usajili au kutengenezwa), umbali uliotembea (odometer reading), ukubwa wa injini, rangi ya gari nk..... haitoshi kusema bei sawa na bure wakati hatujui taarifa tajwa hapo juu..... mfano Million 13.5 inaweza kuwa bei aghali kwa Verossa iliyotembea kilomita laki 3

    Hiyo 'too' ulimaanisha 'tu'? ahahahahhaha..... uduni wa tangazo unaweza kimbiza mteja makini

    ReplyDelete
  2. Tunakushukuru kaka kwa maoni yako

    ReplyDelete
  3. Tino pole sana ndugu yangu na samahani wakati wa kuingiza picha kulitokea na hitilafu,lakini sasa nimeweka picha. Naomba samahani kwa hilo

    ReplyDelete
  4. Naomba kuona picha ya seat ya dereva kama ni leather? hahahaaa....pics na info zaidi tafadhali

    ReplyDelete