Dalili za watu baada ya kutoka kufanya ufuska
Anaonekana kuwa mchovu.
- Anapiga miayo mirefu ya uchovu tofauti na miayo ya njaa.
- Anatembea kwa kujivuta hasa miguu inaonekana kukosa nguvu ilivyo kawaida.
- Anakuwa na wasiwasi na kujaribu kukusoma kama unaelewa kinachoendelea.
- Anapenda kwenda kulala mapema hata kama hana uchovu wa kazi.
- Hapendi majadiliano au maongezi ya kawaida.
Dalili tosha kwamba kuna kazi nzito ameifanya huko alikotoka kwa kuona dalili hizo hapo juu.
0 comments: