Mambo ya Kishamba Ambayo Mwanaume wa Sasa Hutakiwi Kuyafanya
1. Kufuata mkumbo, kutokuwa na maamuzi yako mwenyewe.
2. Kuongea lugha chafu, huwezi kumaliza sentensi bila matusi au kwenye sasa unaweka xaxa
3. Kuvaa mlegezo.
4. Kunyoa panki, kiduku
5. Kuvaa viatu vilivyovikubwa kuliko mguu wako
6. Kukimbia mimba
7.
Kuongea Na kila sentensi ukatia ' ummm umm" HEE!! We vipi????? Kiswahili hujui Ama? Si ulizaliwa Na kukuwa gongolamboto Ww Ama?
8.Kushinda club Kula na kulala kwenu Kuvuta bangi au madawa ya kulevya.
Karibu Mbeya shared a link.
Ni rahisi kwa sasa upata taarifa au eneo ambako huduma uipendayo inakopatikana kwa kupitia karibumbeya.com
http://karibumbeya.com/ads/dubai-aluminium-profile/
http://karibumbeya.com/ads/hsz-kids-clothing/
http://karibumbeya.com/ads/bino-auto-electronics/
http://karibumbeya.com/ads/ujasiliamali/
http://karibumbeya.com/ads/mambo-saba-muhimu-kuzingatia-ili-2015-uwe-mwaka-wa-mafanikio/
http://karibumbeya.com/ads/dubai-aluminium-profile/
http://karibumbeya.com/ads/hsz-kids-clothing/
http://karibumbeya.com/ads/bino-auto-electronics/
http://karibumbeya.com/ads/ujasiliamali/
http://karibumbeya.com/ads/mambo-saba-muhimu-kuzingatia-ili-2015-uwe-mwaka-wa-mafanikio/
0 comments: