Siku nilipogundua kwamba bangi sio mchicha,,, usiisome
Siku nilipogundua kwamba Bangi sio mchicha ni ile ambayo nilitoka ndani kwenda kutoa pesa kwa m- pesa na Remote ya TV simu nikaacha ndani..... Nilipofika kibanda cha m-pesa name rimoti ya tv mzee akniangalia na ktingisha kichwa....... Ikanibidi nirudi home nichukue simu, nilipofika nikakuta giza nikachukua simu kwenye meza na kuwasha tochi ili nitafute simu yangu lakini sikuiona...... Ikanibidi nimpigie mama ili anibip kwenye namba angu simu nijue iko wapi....... Akanijibu Siku ukiacha bangi ndio utajua simu yako ndio unatumia kunipigia...
0 comments: