MANENO YA WALIMU MASHULENI
1: Mkimaliza kuongea, niambieni niendelee kufundisha.
2: Baba yako aliuza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shuleni.
3: Kama unajua kuliko mimi, njoo
ufundishe wewe.
4: Ulikuja peke yako na utaondoka
peke yako.
5: Hata msipoelewa, mshahara
wangu uko pale pale.
6: Baba yako anahangaika kulipa
ada wewe unafanya utumbo tu.
7: Hata nikeshe nafundisha, wengine ni mizigo hawatoki na lolote.
8: Bichwa lako kubwa lipo kwa ajili ya kutenganisha masikio yako.
9: Bichwa kubwa ubongo nukta.
10: Wengine hapa wamekuja kukua tu.
Unayo nyingine? Mkumbuke mwalimu wako
0 comments: