Sifa 10 za mkoa wa Ruvuma (kule kwa kina ne mbwitu)

1. Una matuta makubwa ya barabarani "bumps"
2. una pikipiki nyingi kuliko watu
3. Una matunda mengi ya kipekee mf;- madonga,mfudu,masuku,mbula!.
4. Una mboga nyingi za kipekee mf;- mangaukau,linamfusulela, chikandi,likungu,kipele,mangat
5. Majina mengi ya watu wake ni ya wanyama mf;- komba,mapunda,mbawala,tembo,si
6. Pia una ngoma nyingi mf;- madogoli, beta,zilanga,mganda,lizombe,li
7. Ili ufike nyumba husika lazima uambiwe nyumbii hii bombi hii
Hiyo ndio Songea yetu banaa..,mji uliobarikiwa!.
Chezea songea weye.
0 comments: